Posted by
Shujaa Wa Africa
Hatimae timu ya azam.fc imefanikiwa kuifunga timu ya singida big stars Mabao 2 - 0 kwenye mchezo wa ngao ya jamii wa kutafuta mshindi wa tatu. Kwa matokeo hayo timu ya azam fc imefanikiwa kukamata nafasi ya tatu huku singida big stars wakikubali kushika mkia. Wakati huo mchezo wa fainali ya ngao ya jamii utachezwa leo ifikapo saa moja kamili za usiku (aug 13/2023) #Ligi_kuu_tanzania_bara
- Get link
- X
- Other Apps